Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Browsing all 535 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SIMBA NDANI YA NYASA

 Waziri Sophia Simba (mwenye vazi la kijani na njano katikati) alipokuwa ziarani wilayani Nyasa. Hapo alikutana na wanafunzi wa shule ya msingi Kihagala, iliyopo Kihagala. Ziara hiyo ilikuwa moja ya...

View Article


Dk. Leader Stirling: Mzungu wa kwanza kuwa waziri wa afya Tanzania

Na Markus Mpangala, Dar es salaamMiongoni mwa majina ambayo yalijitokeza katika baraza la mawaziri lililokuwa linaoongozwa na hayati Mwalimu Nyerere ni Leader Dominic Stirling mwenye asili ya Uskochi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU NI JAMBO ZURI

 Bosi wa New Habari(2006) Limited, akiwaongoza waandishi wake katika kuuza gazeti la MTANZANIA mara baada ya kumaliza kifungo cha miezi mitatu. Gazeti hilo lilifungiwa kwa madai ya uchochezi. Ni...

View Article

WILAYA YA NYASA YABEBA MAJUKUMU YAKE

Mwandishi Wetu, Mamba BayBAADA ya kutegemea shughuli zake kufanyika wilayani Mbinga, hatimaye sasa wilaya ya Nyasa imeanza kushughulikia majukumu yake. Miongoni mwa majukumu hayo ni utumishi, ardhi, na...

View Article

UGAWAJI VIWANJA ZAIDI YA 200 KILOSA KWA WAFANYAKAZI WILAYANI NYASA

Na Vitus Matembo, KilosaHalimshauri ya wilaya imeendelea na mchakato wake wa kuuza baadhi ya maeneo kwa wananchi ambao watakuwa tayari kuyanunua. Uuzaji huo umelenga kuyaweka maeneo ya wilaya katika...

View Article


HABARI NJEMA KWA WADAU WA ELIMU NYASA

Kanisa la Anglicana kupitia wafadhili wao toka Marekani kwa mpango wa Shirika la Huduma ya jamii na maendeleo ya vijana Tanzania (SHIHUJAVIMA PROJECT) hapa Mbamba bay. Tayari limeanzisha shule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE YA MSINGI LUNDU

 Mwalimu Mkuu: Veronica Bakari1. Shule inahitaji ukarabati wa darasa moja ambalo limeezuliwa na upepo.Wanahitaji Atlasi –Tanzania pc 3- Afrika Mashariki pc 3- Afrika pc 3- Ulimwengu pc 32. Chalki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI LUNDU YAKOSA WAFANYAKAZI

 Zahanati ya Mtakatifu Raphael inavitanda 40 za kulaza wagonjwa lakini hailazi wagonjwa kwa sababu imekosa wataalamu wa kutoa huduma hiyo Zahanati hiyo ina mfanyakazi mmoja tu aliyeajiriwa...

View Article


TANGAZO MUHIMU

TANGAZO TOKA KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA NYASAKwa wale wote waliomaliza kidato cha sita kwa masomo ya sayansi na hesabu. Nendeni mkajiandikishe kwa mkurugenzi ili majina yatumwe wizarani ili...

View Article


KILICHOJIRI MKUTANONI LEO NA MBUNGE JOHN KOMBA

Na Vitus Matembo, Mbamba BayMkandarasi ametambulishwa Rasmi toka Sri Lanka anaitwa MR.DIISA. Kazi inaanza kesho ya upimaji. KITUO Kikuu cha upokeaji umeme kiko KILOSA ila utaanza kupatikana hapa MBAMBA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATALII WAKIJIPUMZIKA KATIKA FUKWE ZA LIULI, NYASA

 Watalii wakiwa wamepumzika katika fukwe za mji wa Liuli uliopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Fukwe za ziwa Nyasa zinapendwa na watu mbalimbali. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'BAY LIVE SOCIAL HALL' NA MASWALI KIBAO KWA WANYASA

Na Vitus Matembo, Mbamba Bay Huu ni mwanzo tu wa hatua kufikia kilele. Ndugu yetu Madenge Chindogo kaanza hivi. Je wengine tunasubiri nini, mnawekeza tu mijini eeh!. Pengezo nyingi sana ndugu yetu...

View Article

NANI RAIA HALALI?

Na James Zotto, UNIVERSITY OF DAR ES SALAAMLabda mimi pia niwape habari kama hii ya Mh. Msando Alberto: Kule kwetu Nyasa, kijiji na kata ya Liuli, kulitokea mzee mmoja anaitwa John John Mpembo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMAKI NYASA, UHONDO ZAIDI KILA SIKU

  Kwa wakazi wa wilaya ya Nyasa wanafurahia zaidi samaki wanaotokana na ziwa Nyasa. Pichani ni kambale aliyekatwa katwa tayari kuandaliwa kama kitoweo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGUZO ZA UMEME ZAPELEKWA NYASA

Na Egbart Jeremy,Mbamba Bay Hatimaye shehena ya kwanza ya Nguzo za Umeme iliwasilishwa Juni 20 mjini Mbambabay ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa kusambaza umeme vijijini pamoja na wilaya Nyasa ambayo...

View Article


OFISI ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA NYASA ZIMEHAMIA KILOSA JENGO LA KILIMO

Na Vitus Matembo, Mbamba Bay Ofisi za Halmashauri ya Nyasa zilizokuwa zimewekwa katika Lodge ya Mzee mmoja hapa Tambachi mjini Mbamba bay zimehama kwa lazima na kwenda katika Jengo la Kilimo katika mji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARABARA YA MBINGA-MBAMBA BAY KATIKA MATENGENEZO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHONDO WA ZIWA NYASA, WAKAZI HUTEGEMEA MAJI YAKE KWA MENGI

 Watu akiwa katika matukio tofauti ya kutumia maji ya ziwa Nyasa.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDARI YA NJAMBE

BANDARI YA NJAMBE

View Article

MRADI WA KUFUGA KUKU WA KIENYEJI

Na Vitus Matembo, Mbamba Bay Wilaya Nyasa imeendelea kushuhudia mipango ya maendeleo baada ya asasi ya kiraia iitwayo Tanzania Agricultural & Livestock Promotion Association (TALIPA) kupewa kibali...

View Article
Browsing all 535 articles
Browse latest View live