Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Browsing all 535 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JINA LA WILAYA YA NYASA LINAPOPATIKANA NDANI YA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mtaani huu unapatikana katika makutano ya Mitaa ya Lumumba na Mafia jijini Dar es salaam

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YAO YA MAISHA

Kuna dhiki na shida. Safari yao ina milima na mabonde. Sauti zao hazisikiki kokote. Hawajui itikadi zenu bali wanatafuta shibe zao. Mazingira yao hayavutii, lakini hawachokii kuyatumia kupata matumaini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGONJWA WA KIPINDU PINDU UMEINGIA WILAYA YA NYASA

NA MWANDISHI WETU, MBAMBA BAYA UGONJWA wa Kipindupindu umebisha hodi kwa mara nyingine kama ilivyokuwa mwaka jana wilayani Nyasa, ambapo watu mbalimbali walikimbizwa hospitali kutokana na kuharisha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITOWEO NA MANDHARI YA KUVUTIA YA LIULI, NYASA

Picha ya kwanza (juu) inaonyesha utulivu wa Ziwa Nyasa katika bandari ya Liuli, wilayani Nyasa.  Ikumbukwe Ziwa Nyasa linasifika kwa mawimbi makali lakini pia linakuwa na utulivu kama huu pichani....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ATAMBUE NYASA IMEJAA UTAJIRI

Na MARKUS MPANGALA WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa wakati akifunga mkutano wa tisa wa Bunge la 11 Novemba 17 mwaka huu alibainisha jambo muhimu linalohusu ubora wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAIDA KAROLI NA MHARIRI WA BLOGU HII

Wakati fulani katika shughuli zangu nimekutana na watu mbalimbali maarufu katika fani tofauti. Nimekutana na watu wa fani za soka, muziki, siasa, utamaduni, kwa kuyataja machache. Wakati mwingine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHO VITABUNI

NAAM! Mara kadhaa ninapotembelea jiji la Dar es salaam wengi hutuita  wageni kama “watu wa mikoani”. Lakini ninachokiona wakati mwingine ni kuzikali fursa ikiwemo ya kutembelea maduka ya vitabu.Wahenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYASA: TUNAISHI KWA MIFANO, KUSEMA NA KUTENDA

Ilikuwa siku muhimu ya kukumbuka mambo niliyopita utotoni, kabla ya kugeukia elimu za darasani. Lakini pia hata nilipokuwa na elimu ya darasani bado nina mapenzi makubwa na mazingira haya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASMI: MAKUNDI YA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2018

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMO LA LEO: UKIMWI

"Wanaume na nyinyi muwe na maadili, wanaume wakubwa mnahisi labda wakubwa wenzenu wamechuja hawana ladha ile ambayo mngependa kuipata, kwa hiyo mnahamia kwa wototo wadogo, huu si mwendo mzuri, hawa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FURAHA YA MAZEMBE ILIYOPORWA UWANJA WA NDEGE NA KABILA

NA. HONORIUS MPANGALA Rais Joseph Kabila ni mmoja ya marais wa Afrika ambao ni wamashabiki wakubwa wa mchezo Wa soka. Amekuwa akisapoti sana mchezo Wa soka Kwa timu yao ya taifa inayoitwa chui. Wadau...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFADHILI WA DHIKI

Nikiwa katika ufukwe wa forodha ya Lundu, Nyasa.Nilitamani nguo kupiga pasi,Hakika hilo tena siwezi,Kwetu umeme wa manati,TANESCO hisani nifanyieni,Umeme wahakika nipatieni.Mimi ni muuza JuisiKama yule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDARI YA MBAMBABAY ITAKUZA UCHUMI

NA MWANDISHI WETU, SONGEANAIBU Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Mànyanya ameshauri kupanuliwa kwa bandari ya Mbamba Bay iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI BARABARA YA MBINGA-MBAMBA BAY WAKARIBIA

NA MWANDISHI WETU, SONGEAMKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema ujenzi wa barabara ya lami nzito toka Mbinga wilayani Mbinga hadi mjini Mbambabay Wilayani Nyasa unatarajia kuanza hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MELI YA ABIRIA YAENDELEA KUUNDWA

MWANDISHI WETU, KYELAKAZI ya kuunda meli mpya ya abiria itakwayokuwa na uwezo wa kubeba abiria 200 pamoja na tani 200 za mzigo imefikia asilimia 60 tangu ilipoanza kutengenezwa mapema mwaka huu katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZOEZI YA KIJESHI KUFANYIKA NCHINI

Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa mazoezi ya siku 14 ya pamoja ya makamanda wa kijeshi wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki yanakayojikita katika kupambana na matukio ya ugaidi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“KURUDI NYUMBANI”, IMERUDI STARINI TENA"

MWAKA 2012 nilianzisha kipengere cha “KURUDI NYUMBANI” katika blogu hii. Mtu wa kwanza kuhojiwa alikuwa Ambroce Nkwera. Unaweza kusoma mahojiano hayo kwa KUBONYEZA HAPA. Labda swali hapa ni kwanini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

“NYASA INAWEZA KUJENGA KIWANDA CHA MATUNDA. HOTELI NAZO ZINATUDAI MAHITAJI...

NA MARKUS MPANGALAMAELFU ya vijana waliotokea Wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma wamesoma elimu ya Sekondari  katika shule ya Lundo iliyopo Kata ya Lipingo wilayani humo. Hata hivyo sio vijana wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILICHOTOKEA KATIKA UCHAGUZI WA KATA 43 HAKINA TASWIRA NZURI 2020

NA HONORIUS MPANGALA TANZANIA ni nchi ambayo wananchi wake wamejengwa kwenye ushrikiano na mshikamano mkubwa sana katika aisha yao ya kila siku. Yawezekana misingi iliyowekwa na waasisi wa taifa hili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAUNGA MKONO ARUDISHWE MWANDISHI MWENZETU.

View Article
Browsing all 535 articles
Browse latest View live