Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Browsing all 535 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMERA YETU NORWAY

Furahisha macho kwa vipawa walivyo navyo wenzetu. Hapo ni Norway kwenye bahari ya Atlantic ambapo walijenga barabara kukatiza bahari kuunganisha miji iliyoko visiwani kwenye eneo la bahari. Kwa kuisoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITAI NI ENEO ZURI KWA UWEKEZAJI

Pichani ni sehemu ya mji wa KITAI. Mahali hapo ni makutano ya barabara za Songea-Mbinga, Mbinga-Lituhi, Songea-Lituhi, mkoani Ruvuma ambapo kunajengwa Kituo cha usambazaji wa umeme vijijini (REA). Hilo...

View Article


MAISHA

Maisha ni furaha na huzuni,Yakupasa kuyafikiri akilini,Ongeza na maarifa ubongoni,Usisahau na akiba kibindoni.Ni huzuni na furaha maishani,Ni furaha zaidi kupata amani,Ya maisha kuitunza duniani,Aliye...

View Article

NINAONDOKA

Ndugu zangu sikieni, mimi hapa naondoka,Ninahitaji amani, mirindimo nimechoka,Ninakwenda kwa jirani, hata kama akifoka,Ninaondoka jamani, amani naitafuta.Mitaani kuna mambo, twakimbizana daima,Yapo...

View Article

PAMBO LA NDOA

Ndoa ni kitu johari, thamani yake nyumbani,Ndoa usiikahiri, utakuwa matatani,Ndoa yahitaji siri, zihifadhiwe chumbani,Pambo la ndoa mapenzi, yenye afya na nidhamu.Kuvumiliana nako, ni muhimu kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUKWE ZA NYASA KATIKA PICHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR ES SALAAM TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO YA NOBEL: NGUGI WA THIONG’O HOI TENA!!!!

Kazuo Ishiguro (pichani) raia wa Uingereza ameshinda tuzo ya Nobel katika fasihi kwa mwaka 2017. Amepata ushindi huo baada ya kuwabwaga washindani wake Margaret Atwood, Ngugi Wa Thiong’o na Haruki...

View Article


SOMO LA LEO; SHERIA

Kifungu cha 6(1)(h) cha Sheria ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Nam 7/2001 kinaipa mamlaka na uwezo Tume kukagua Magereza (pamoja na Vyuo vya Mafunzo) na sehemu ambazo watu wanazuiliwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKOLONI WALITUPOTOSHA KWA ELIMU YAO

NA HONORIUS MPANGALA, 0628 994409MIONGONI mwa mambo ambayo waafrika hatutakiwi kujiuliza kuhusu wakoloni na wawekezaji kwanini wanapenda kukimbilia kuwekeza au kama walivyokuja kutawala afrika,jibu ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALFRED NOBEL: MHANDISI MWANZILISHI WA TUZO YA NISHANI YA AMANI YA NOBEL.

NA KIZITO MPANGALA, 0682 555 874ALFRED NOBEL ni mtu aliye wazi masikioni mwa wengi lakini akifahamika zaidi kwa jina lake la mwisho yaani Nobel kutokana na tuzo aliyoianzisha katika amani, lakini kwa...

View Article

SOMO LA LEO

"Sitaki kulieleza zaidi jambo hili. Lakini hivyo ndivyo ilivyokuwa. Vitu vingi sana vimepanda bei; na kila mtu kaumia; wenye kipato kidogo waliumia zaidi kuliko wenye kipato kikubwa. Tumetangaza bei...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI.

NA MWANDISHI WETUWIZARA  zimeongezeka kutoka 19 hadi 21, Mawaziri kutoka 19 hadi 21, Manaibu Waziri kutoka 16 hadi 21. Wataapishwa ni Jumatatu tarehe 9/10/2017 asubuhi kwenye saa tatu au saa tatu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUTENI JENERALI MIKHAIL KALASHINKOV: MWASISI WA BUNDUKI YA AK – 47

Na Kizito MpangalaAlizaliwa tarehe 10 Novemba mwaka 1919 nchini Urusi. Alikuwa ni mtoto wa wazazi Timofey Aleksandrovich Kalashinkov (baba) na Aleksandra Frolovna Kalashinkova (mama) akiwa ni mtoto wa...

View Article

NIMEWASILI

Salama nimewasili, jirani kanipokea,Mekaa kwenye kivuli, upepo unapepea,Nimekuwa mdhalili, mengi yamenipotea,Nimewasili salama, jirani kanipokea.Nilikotoka najuta, watu wengi wamekufa,Mazingira ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PENZI LA TAIFA; MKASA WA CATALONIA (BARCELONA) KUJITOA HISPANIA

Mfalme Ramon Berenguer wa IV wa Barcelona alimuoa Malkia Petronilla kutoka ufalme wa Aragon. Ndoa hiyo ilichochea muungano kati ya ufalme wa Aragon na Catalonia(Barcelona). Mwaka 1469 ulishuhudia ndoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA ERNESTO CHE GUEVARA

LEO imetimu miaka 50 tangu mwanamapinduzi wa Argentina Enersto Che Guevara alipouliwa huko Bolivia. Che anafahamika kwa harakati zake za kupigania uhuru wa nchi kama DRC/Cuba na nyingine nyingi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZENZILE MIRIAM MAKEBA: MWANAMUZIKI ANAYEKUMBUKWA NA WENGI BARANI AFRIKA.

Na Kizito MpangalaZenzile Miriam Makeba alizaliwa mwaka 1932 jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Alizaliwa kwa wazazi wenye asili tofauti kikabila, baba yake ni Mxhosa, na mama yake ni Mswazi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUVUMA: WANANCHI WAKERWA KUUZIWA KONDOMU

Wanawake wa kijiji cha Lumecha wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kuweka ratiba ya kudumu ya utoaji huduma za uzazi wa mpango bure kwenye vijiji vya pembezoni ili kuwasaidia kupunguza vifo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 50 TANGU CHE GUEVARA AUAWE, BADO ANAISHI

NA ZITTO KABWE MIAKA 50 imetimia tangu Komredi Che Guevara auwawe huko Bolivia mnamo tarehe 9/10/1967. Che, mwanamapinduzi mzaliwa wa Argentina na mkombozi wa Cuba ni mmoja wa wanadamu waliojitoa...

View Article
Browsing all 535 articles
Browse latest View live