Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 535

KUMBUKUMBU YA ERNESTO CHE GUEVARA

$
0
0
LEO imetimu miaka 50 tangu mwanamapinduzi wa Argentina Enersto Che Guevara alipouliwa huko Bolivia. Che anafahamika kwa harakati zake za kupigania uhuru wa nchi kama DRC/Cuba na nyingine nyingi. Aliwahi fika Tanzania miaka ya 1960 Kupitia Ujiji-Kigoma na kukaa miezi saba kabla hajaondoka kuelekea Cuba. 
 
Che Guevara alikuwa ni Mwanaharakati/Mwanadiplomasia/Mjamaa na Mwanamapinduzi katika Karne ya ishirini. Mchango wake unakumbukwa na wengi Duniani, alikuwa ni swahiba Mkubwa wa Rais wa Cuba hayati Alejandro Fidel Castro #Socialism.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 535

Trending Articles