Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 535

SOMO LA LEO; SHERIA

$
0
0
Kifungu cha 6(1)(h) cha Sheria ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Nam 7/2001 kinaipa mamlaka na uwezo Tume kukagua Magereza (pamoja na Vyuo vya Mafunzo) na sehemu ambazo watu wanazuiliwa kwa mujibu wa sheria ili kufanya tathmini na kukagua hali ya haki za watu wanaozuiliwa humo na hatimae kutoa mapendekezo yatakayotatua au kuondoa matatizo yatakayoonekana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 535

Trending Articles