Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Browsing all 535 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWANINI MAJAJI WANAVAA MAWIGI?

Kwa wenye taaluma mjadala huu unafaa. Kuna mengine pia yamesema, mfano majina ya Victoria Falls, Ziwa Victoria na kadhalika. Makala hayo yalichapwa kwenye gazeti la THE CITIZEN toleo la Jumatano,...

View Article


SIDHANI KAMA UTU UMEZINGATIWA HAPA.

NA DK. RICHARD MBUNDAMOJA ya misingi mikuu ya tanu na ccm ni kujali utu wa binadamu. Kamati ya Haki, na Maadili ya Bunge imeshindwa kumhoji Mh. Saed Kubenea baada ya kujiridhisha kwamba hali yake ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA UKUTA MKOANI MANYARA

PICHANI:  Meja Jenerali Michael Isamuyo atua Mererani, Mkoani Manyara kukagua maeneo ambayo ukuta utajengwa kwa ajili ya ulinzi wa madini.Wananchi wakiangalia Helikopta ya JWTZ iliyomleta meja jenerali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO YA NDUGU KABWE Z. RUYAGWA ZITTO (MB), MBELE YA KAMATI YA BUNGE YA...

Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati, Mnano tarehe 13 Septemba, 2017 nilipata wito wa kufika mbele ya Kamati yako kutoa ushahidi wa masuala mbalimbali. Nilipata wito husika saa nane na dakika 40 mchana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA KISUMAPAI LAPATA AJALI NANGOMBO

Basi la kampuni ya Kisumapai lenye namba za usajili T 606 CTY   linalofanya safari zake  kutoka Songea kwenda Mbamba Bay, Liuli hadi Mango wilayani Nyasa limepata ajali mapema leo katika kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITONGOJI FEKI CHAGUNDULIKA NDANI YA HIFADHI NYASA

NA ALBANO MIDELO, NYASANYUMBA 25 zilizokuwa na kaya 65 ambazo zilijengwa katika hifadhi ya msitu milima ya Ruhekei katika Halmashauri ya Nyasa mkoani Ruvuma zimebolewa na kuondolewa ndani ya hifadhi...

View Article

JE WAJUA?

Kulala kwa muda mrefu kunasababisha  upweke. Utafiti unaonyesha kuwa watu wapweke wanatumia muda mwingi wakiwa kitandani licha ya kujua hatari zinazotokana hali hiyo. Upweke husababisha kudhani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV. NJOMBE YATIA NANGA MBAMBA BAY LEO

NA VITUS MATEMBO, MBAMBA BAYMELI mpya ya mizigo iitwayo Mv. Njombe imetia nanga kwa mara ya kwanza katika bandari ya Mbamba Bay tangu kukamilika kwa ujenzi wake uliofanyika katika bandari ya Kiwira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEWATEMBELEA WAKONGO NA BURUNDI LEO

Fredy Msumba anasema , "Leo niliona niwatembelee ndugu zetu wa Kongo na Waburundi, maisha ndo hayo, big up Tanzania, I love Tanzania. Karibu Kigoma bado nipo. Nakuambia kaka, ukija huku hutatamani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAURI WA BURE KWA TFF

NA SAMWEL CHITANYAMOJA kati ya nchi za Afrika ambazo raia wake wanapenda sana mchezo wa kandanda  duniani ni Tanzania. Watanzania wanaupenda sana mchezo Wa kabumbu. Ni mchezo unaopendwa na watu wengi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA DKT ASHA-ROSE MTENGETI MIGIRO.

UN-High Level Advisory Board on Mediation ni nini? Siku ya tarehe 13/09/2017 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ndugu Antonio Guterrez alitangaza kuanzisha bodi mpya ambayo inaitwa Bodi ya Ushauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA IS RAPIDLY CLOSING ITS ECONOMIC GAP WITH KENYA

BY GABRIEL MWANG’ONDA Kenya’s status as East Africa’s economic powerhouse is at stake as Tanzania races closely behind, with a higher growth rate that is increasingly narrowing the gap between the two...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI WA KITABU; BUSARA ZA MZEE

KITABU: BUSARA ZA MZEEMWANDISHI: TITUS AMIGUMCHAMBUZI: KIZITO MPANGALABUSARA ZA MZEE ni kitabu chenye mkusanyiko wa aya mbalimbali ambazo zimekusanywa katika nyakati tofauti na kuwekwa kitabuni. Ni...

View Article


MAPIGANO YAENDELEA KATI YA WANAMGAMBO WA MAIMAI NA JESHI LA TAIFA

MAPAMBANO MAKALI yanaripotiwa kati ya jeshi ya Congo FARDC na waasi wa maima wa YAKUTUMBA katika maeneo ya wilaya ya Tanganika tarafani fizi, Katika mkoa wa Kivu ya kusini mashariki mwa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADHABU KWA MWENDESHA BAISKELI

 Jana mchana mwendesha Baiskeli alipita kwa kasi katika makutano ya barabara ya Bibi Mohammed na Morogoro bila kuruhusiwa na taa za kuongoza magari. Wakati anapiga taa zilionyesha magari yapite, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI WA KITABU CHA THOMAS FRIEDMAN

KITABU: HOT, FLAT AND CROWDEDMWANDISHI: THOMAS L. FRIEDMANMCHAMBUZI: MARKUS MPANGALA SUALA la mabadiliko ya tabia nchi ni nyeti duniani. Kutoka na unyeti huo Thomas L Friedman aliandika kitabu hiki cha...

View Article

HOJA 10 ZA WABUNGE WA CHAMA CHA NRM

KAMPALA, UGANDA1. Acha "Mamlaka ya Raia" iamue. Kuweka ukomo wa umri ni kuwanyang'anya ni kuwanyima mamlaka yao ya Kikatiba.2. Uhuru wa Raia kuchagua wampendae uheshimiwe. Kama hawampendi kura...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALUM MWALIMU ASHINDA KESI

BARIADI: Kesi Na. 158/2016 iliyokuwa inamkabili Naibu Katibu Mkuu (CHADEMA) Zanzibar ndugu Salum Mwalimu na wenzake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bariadi imetupiliwa mbali, hivyo basi washtakiwa wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU CCM KIKAONI LEO IKULU

Mwenyekiti wa CCM, John Magufuli ameongoza kikao cha Kamati Kuu leo Ikulu jijini Dar es slaa. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHUJAA SONGEA

Mwanazuoni Edgar Mwandemani akiwa katika mnara wa askari ulipo katika uwanja wa Mashujaa mjini Songea.

View Article
Browsing all 535 articles
Browse latest View live