AJENDA: Afrika ya Mashariki.
WENYEJI; Uganda
WAHUSIKA: Ndugu Rais Yoweri Museveni, ndugu Rais John Magufuli na ndugu Rais Uhuru Kenyatta
MADA: Sekta binafsi kwa maendeleo ya nchi za Afrika mashariki.
MAONI: Sekta binafsi ina lengo la kutafuta faida. Haitatokea kuwa utoaji wao wa huduma kuwa kigezo cha kutotafuta faida. Ni jukumu la serikali kusimamia kupata haki zake kutoka kwa wadau wa sekta binafsi kwa njia zinazofaa. Tukitaka kuilazimisha sekta binafsi isilenge faida tutarudi kwenye "Mashirika/viwanda vilivyobinafsishwa" enzi hizo na baadhi yao kuwa "ghala za popo".