Quantcast
Channel: KARIBUNI NYASA
Browsing all 535 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MKUKI NA NYOTA WAINGIA SOKO LA VITABU CHINA

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAMKAMPUNI ya Mkuki na Nyota ambayo hujishughulisha na uchapaji wa vitabu imetanua wigo wa soko lake la uchapishaji na utangazaji wa vitabu baada ya kusaini makubaliano na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKINIKIA YANG’OA VIGOGO WA ACACIA

NA MWANDISHI WETUVUMBI lililosababishwa na sakata la mchanga wa madini maarufu kama MAKINIKIA limeitikisa tena kampuni ACACIA ambayo inamiliki kampuni zinazochimba madini hapa nchini katika maeneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAJILI WA LESENI ZA MACHAPISHO WAFIKA TAMATI.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FURSA: SEMINA YA WANAZUONI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA WIKI HII

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WASIOFAHAMIA WAMPIGA MAWE MTU HADI KUFA

NA MWANDISHI WETUMTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Gaudansi Kapinga(31) aliyekuwa Mkazi wa Kijiji cha Mbuyule Tarafa ya Ruhekei wilayani Nyasa mkoani Ruvuma,ameuawa kwa kupigwa na mawe hadi kufa na...

View Article

KAULI YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA

"Mimi ni Mnyamwezi original nipo tayari kutwishwa mizigo yote,mnitwishe wanaruvuma mizigo yote kwa lengo la kuleta maendeleo ndani ya mkoa',” Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ni Christina Mndeme

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI WA KITABU: IT CAN'T BE TRUE

KITABU: IT CAN’T BE TRUEMWANDISHI: JOHN MWAKYUSAMCHAMBUZI: MARKUS MPANGALAHII ni mara yangu ya kwanza kusoma riwaya ya mwandishi John R.P. Mwakyusa, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Riwaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATAJWA KUONGOZA KWA MARADHI YA KIPINDUPINDU

NA MWANDISHI WETUSHIRIKA la Afya Duniani imeitaja Tanzania kuwa  miongoni mwa nchi kumi kinara kwa watu wake kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Mataifa  mengine yaliyotajwa ni pamoja na India ambayo ndio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITA YA KUGOMBANIA MAJI DUNIANI INAKUJA

NA MWANDISHI  WETUSHIRIKA la Afya Duniani(WHO) linabainisha kuwa kuna watu bilioni 1.3 ambao ni moja ya tano ya watu wote duniani wanakosa maji safi na salama ya kunywa. Mwenyekiti wa Baraza la Maji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTALII: UFUKWE WA KIJIJI CHA LUNDU

Wilaya ya Nyasa imebarikiwa kuwa na fukwa zuri zinazotokana na ziwa Nyasa. Huu mojawapo ya ufukwe wenye historia kubwa sana, kupokea wageni kutoka Ujerumani, Uingereza, Italia na nchi mbalimbali ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITABU CHENYE UTATA KUHUSU RAIS ZUMA CHAPIGWA MARUFUKU

PRETORIA, AFRIKA KUSINIMAJASUSI wa Afrikia Kusini wanataka kufutiliwa mbali kwa kitabu kipya chenye utata kuhusu madaia yua rais Zuma kujilimbikizia fedha kimakosa ,wakisema kuwa kitabu hicho kimajaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI WA TAMTHILIYA YA BLACK MAMBA

KITABU: BLACK MAMBAMWANDISHI: JOHN RUGANDAMCHAMBUZI: KIZITO MPANGALA.Black Mamba ni tamthiliya iliyoandikwa na John Ruganda kutoka nchini Uganda. Namba za usajili ni 978-9966-46-378-X na kuchapiswa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SASA NAMWELEWA HILARY CLINTON

NA  MARKUS MPANGALA WAKATI wa kampeni za Uchaguzi nchini Marekani mwaka 2016, aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democrat, Hilary Clinton alisema: “Kama mgombea (wanasiasa)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAAMUZI WETU NA MITIHANI YA SIMBA NA YANGA

NA HONORIUS MPANGALATANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazotajwa kuwa na amani na hii ni kutokana na muingiliano wa mambo manne.  Yako makundi yaliyojikita katika masuala ya dini, siasa, ushabiki wa soka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABALOZI WETU WASIWE WAZITO KUJENGA UCHUMI

NA GABRIEL MWANG’ONDA RAIS John Magufuli ametimiza miaka miwili madarakani tangu alipoapishwa Novemba 5 mwaka 2015. Miaka hiyo serikali imefanya mambo mengi ambayo si lazima kueleza hapa leo. Lakini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEUZI UMETENGULIWA

Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Bw. Abdallah Hussein Mussa kwa kushindwa kumudu majukumu yake.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO 50 YA KISAIKOLOJIA YATAKAYOKUACHA KINYWA WAZI

NA VITUS MATEMBO, MBAMBA BAY Mwonekano wa ufukwe wa Mkwakwa katika Ziwa Nyasa.Hii ni kweli hata kama ulikua hujui kubali tu, maana ndio ukweli uliopo. 1. Mtu hufanya ishara nyingi za mikono akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILAYA YA NYASA INAO UTAJIRI WA VIVUTIO VYA UTALII

Mwonekano wa fukwe za Ziwa Nyasa.Mvuvi akiwa katika shughuli zake ziwa NyasaGati la Bandari ya Mbamba Bay mjini Mbamba Bay wilayani NyasaPicha Zote kwa hisani ya Vitus Matembo, Mbamba Bay.

View Article
Browsing all 535 articles
Browse latest View live